MIMI
Ninaitwa Ndesanjo Macha. Pamoja na mambo mengine, mimi ni mwanablogu na mwanaharakati wa mtandao wa tarakilishi na uandishi wa umma. Ninatumia teknolojia ya blogu kusaidia kusafisha fikra zetu Waafrika kwa habari, elimu, maoni, na maarifa. Ninapenda wewe nawe uwe mwanablogu, uwe na uwanja wako wa kuwasiliana na wengine, kutoa habari, maoni, na elimu.
Ukiwa na swali lolote kuhusu teknolojia ya kublogu, wasiliana nami kwa anuani hii:
ughaibuni@yahoo.com
(tafadhali kwenye sehemu ya "subject" andika: mwongozo wa wanablogu)
Ninapatikana hapa:
http://digitalafrica.blogspot.com
http://cyber.law.harvard.edu/globalvoices/author/ndesanjo-macha/
September 16, 2006 at 6:29 pm |
samahani bro Macha nami naomba mwongozo ili nifungue blogu hapa chuoni Mweka Tanzania ili niweze kupata maneno yahusuyo wanyamapori wa Tanzania na Africa.
August 23, 2015 at 1:34 pm |
naomben kuingia huku kwenye blog jaman mm ni mgeni
April 26, 2016 at 6:02 pm |
vp umepata mwongozo kak
June 25, 2016 at 10:03 am
Nisaidie namna ya kutoa habari katika blog na kuiweka katika mtandao wa facebook huku jina la blog likionekana
February 26, 2017 at 11:09 pm
Vp Kaka
December 2, 2006 at 1:03 pm |
Salum Kalunge, tafadhali nipe anuani yako.
December 27, 2006 at 10:40 pm |
Please! Can you help me to link my web with other user/web owners. I fail to search through different engine such as Google and yahoo.
March 25, 2007 at 12:17 pm |
Hey bro mimi niko hapa Kigoma Tanzania naomba mwongozo namna na kublogu na kujiunga mtandaoni ili nitoe changamoto ya habari ktk ulimwengu huu wa utandawazi.
April 13, 2007 at 1:01 pm |
I want to become a blogger.
May 28, 2007 at 10:11 am |
naomb unisaidie niweze kuwa na blog. ushauri wako ni mzuri
November 4, 2014 at 1:02 am |
Oyoo mnatisha wadau,do huku nisheeda,jamaa kapata viboko sabini kwa kufumaniawa.ningekuwa blog ningepost picha but nataka msaada wajinsiya kujiunga. WADAU MI Hemed M Hussein.PANDE ZA DAR BUT MAHOME BK,yaani BUKOBA.mi ni msaani (HD Mavoice).YAPO FULLM
June 14, 2007 at 12:12 pm |
Thank you I have got my registration since April 13th, 2007.
September 18, 2007 at 9:33 am |
Hello bro.Hongera sana kwa uyafanyayo,umenivutia mno naomba unitumie muongozo nataka kuwa mwanablogu tuweze changia changamoto mbalimbali kwa pamoja.Nipo Dar.Keep it Up!
October 30, 2007 at 12:58 pm |
Naomba kujiunga na wanablogu ili niweze kupata maoni mbali mbali jinsi na namna ya kuanzisha miradi kama ya shule za msingi na sekondari hapa Tanzania
February 1, 2008 at 6:01 pm |
american red cross volunteer dental assistant program
August 10, 2008 at 6:41 pm |
Hi Bro Macha! Nipo hapa Libya ninasoma chuo kimoja kinaitwa Islamic call college,ninahitaji msaada wa jinsi ya kufungua blog ninajitahidi mpaka ninapata blog ila tatizo ni kuandika katika hiyo blog. Nadhani umenielewa nisaidie.
June 9, 2009 at 1:06 pm |
habari kaka macha,nipo hapa dar nimevutiwa mno na mambo ya blogu hivyo nipatie mwangozo tafadhali nami nianzishe yangu kuwahabarisha wengine.
nisaidie tafadhali.
July 14, 2009 at 2:08 pm |
DDGirs com,
July 14, 2009 at 2:35 pm |
youporn tv,
February 26, 2010 at 2:04 pm |
salama kaka we mwanamapinduzi wa ukweli.endeelea kusaidia kizazi cha afrika kwani kuna umuhim wa kufanya mapinduzi ya ubongo kwa vijana wa Afrika kwa njia ya blog.hongera sana
April 15, 2010 at 7:57 pm |
Naomba maelezo jinsi ya kufungua blogu
August 16, 2010 at 10:21 am |
Habari za kazi,mr ndesanjo macha,naomba unipe mwongozo wa kujiunga na blogu na niwe napata taarifa mbali2 za tiba za asili na niweze kuwa mwanachama ktk huduma yako nzuri ya blogu.Nitashukuru sn kwa msaada,kwa mawasiliano zaidi napatikana ktk no.0754018763
February 7, 2011 at 4:47 pm |
Hallow kaka Ndesanjo, habari za kazi na pole na pilikapilika za kila iitwayo leo. mimi ni kjana wa kitanzania ambaye naweza kujiita mlevi wa uduma za mtandaoni. kwa kweli napenda kujielimisha na hata kuwaelimisha watu wengine kile kidogo ninachoamini kinafaa kuiwafikia. nimejaribu kufungua blogspot yangu mimi mwenyewe lakini nadhani kuna vitu au jambo nilikosea hivyo lengo langu halikufanikiwa kwa kiwango kikubwa. maana haifunguki mpaka iwe niwe nimefungua ukurasa wa face book.na mbaya zaidi siwezi kuweka taharifa wala kitu chochote kingine. naomba msaada wa kuniwezesha nami kuwa mwanablog mwenye blog yangu ambayo itakuwa na archive ya blog za watu wengine ambao ningependa kuwashirikisha wasomaji wangu. nashukuru iwapo ntapata msaada huo na kama mawasiliano ya simu yanahitajika napatikana pia kwa namba za simu hizi:-0715721020/0787721020/0764721020/0774721020.
May 26, 2011 at 4:56 pm |
naomba unitumie mwongozo nami niwe na blog yangu
October 14, 2011 at 4:25 am |
kaka habari za kaz, mimi naitwa francis nipo Tabora, naomba msaada wako kwani nahitaji kuanzisha blog yangu na nimeshindwa, naomba mwongozo ili niweze kufungua. email yangu ni fkulwa@rocketmail.com
February 17, 2012 at 7:16 am |
habari za kazi naitwa sharifu naomba unisaidie ili niweze kufungu e:meil yangu
November 27, 2011 at 5:14 am |
naomba unitumie mwongozo nami niwe na blog
November 28, 2011 at 9:20 pm |
nahitaji kufungua blog itayohusisha masoma hapa chuoni, tatizo ni kwamba ni kifungua inakuwa shida kwa watu wengine kuchangia au kuifungua nahitaji msaada wako bro
December 1, 2011 at 5:06 am |
Nataka kufungua email lakini nashindwa naomba unisaidie kwa hili
December 23, 2011 at 4:12 pm |
Samahani naomba unisaidie ninapotaka kuwa na email unafanyaje?
February 11, 2012 at 10:06 pm |
Naitwa Jack naomba unisaidie kufungua blog. Nipo Dar es salam
February 14, 2012 at 12:22 pm |
naomba kujiunga niwe na blog
May 6, 2012 at 6:40 am |
Habari ya kazi bro pole kwa shuhuli nilikuwa naomba muongozo jinsi ya kujiunga na bloog yako kama utajali
May 19, 2012 at 3:43 pm |
Nisaidie nifungue email yangu
May 24, 2012 at 10:49 am |
Maendeleo kwa ujumla
July 24, 2012 at 9:59 am |
hongera wazili kwa kujihudhuru
July 24, 2012 at 10:02 am |
naomba nisaidie namna ya kuwa na website yangu
July 25, 2012 at 10:52 am |
mungu awabaliki watanzania wote kwa kuwa ni wakalimu na niweye kujali maisha ya wengine lakini waaotuchafulia jina la TANZANIA NI WALA WANAOFANYA MAOVO MBALI MBALI KAMA UJAMBAZI MAUJI KAMA YANAYOTOKEA TABORA NA MIKOA MINGINE KWA IMANI ZA KISHIRIKINA KUTOITENDEA VYEMA TANZANIA WATU WENYE TABIA HIZO WAACHE KWANI KILA BAYA LINAMWISHO WAKE
July 26, 2012 at 10:25 am |
Tunahitaji vijana wote kumkumbuka mungu siku za ujana wetu kwasababu miaka hii ni ya hatari sana kuna manabii wa uongo wanaowadanganya watu wengi kutokana na kutokuwa na msimamo na imani zao mungu tubariki wote.
August 31, 2012 at 7:19 pm |
Luv u bro
October 26, 2012 at 6:13 pm |
I want this service
November 21, 2012 at 8:11 am |
HABARI ZA MAJUKUMU Naomba unisaidie niweze kuwa na fecebook na E-mail ninapotuma haziendi au bado hajakamilika nakuomba nisaidie tafadhali Asante
November 29, 2012 at 11:10 am |
POLE NA KAZI BRO NAITWA JOSEPHINE KISIMA naomba unisaidie niweze kufungua blog yangu ya kampuni kwa ajili ya matangazo na shughuli za kijamii pia johekiltdco@gmail.com
January 10, 2013 at 10:52 am |
…Kaka hongera sana kwa mchakato unaoufanya.Nimevutiwa nao sana,nami kawa kijana wa Kitanzania nahitaji kuijua kiundani teknolojia hiyo. Ntashkuru ukinitumia muongozo…
Harakati njema.
January 25, 2013 at 6:06 am |
naomba unisaidie namna ya kuwa na website yangu ili niweze elimisha jamii kwa ujumla, mambo ya kimwili na kiroho.
January 25, 2013 at 6:09 am |
pole kwa kazi naomba unisaidie niweze kufungua blog yangu ya kampuni kwa ajili ya matangazo na shughuli za kijamii pia rachelcharles47@yahoo.com
February 12, 2013 at 2:45 pm |
naomba unisaidie namna ya kujiunga na emely nipo mbeya henry zakayo
March 23, 2013 at 8:27 pm |
Iwant tobe amember
April 3, 2013 at 11:28 am |
mimi naomba unielekeze namna ya kujiunga na wanablogu
April 3, 2013 at 11:34 am |
NAOMBA UNIELEKEZE NAMNA YA KUJIUNGA NA WANABLOGU ILI NAMI NIWEZE KUCHATI.EMAIL YANGU NI kaabi92@mshana.com
April 3, 2013 at 12:24 pm |
hi, nami ningependa kufahamu namna ya kujiunga na kwenye blog ili nami niweze kuelimisha jamii kwa ujumla…
April 22, 2013 at 8:08 am |
HABARI ZENU WAPENDWA
April 27, 2013 at 8:13 pm |
Nisaidie nami
May 3, 2013 at 5:13 am |
Na mm naomba unipe huo muongozo ili niweze kutumia blog vizuri
May 10, 2013 at 10:04 am |
O
May 15, 2013 at 9:57 am |
Naitwa james mwaipyana nashindwa jinsi ya kufungua email
May 23, 2013 at 7:50 pm |
ninayo blog yangu ila inakuwa ngumu kuandika habari.. naomba msaada kwa hilo
May 23, 2013 at 8:17 pm |
Nipe anuani ya blogu yako na pia niambie zaidi kuhusu wewe. Wewe ni nani, unafanya nini, uko wapi, etc.
May 27, 2013 at 1:58 pm |
maisha bila kumtii mungu ni sawa na bureeeeee
May 10, 2015 at 1:17 pm |
ni kweli kabisa bila mungu na sawa na kusubiri ndege bandarini
May 30, 2013 at 8:06 am |
Habari motomoto za uchumi na siasa za Africa na ulimwengu kwa ujmla. Lifestyle
May 30, 2013 at 8:20 am |
Napenda kuwa mwanablogu kupata Habari motomoto za uchumi na siasa za Africa na ulimwengu kwa ujmla. (Lifestyle) Afya! na maisha ya KIROHO nikiawa na maana ya kumtegemea MUNGU.
May 30, 2013 at 8:25 am |
mwongozo wa wanablogu
June 8, 2013 at 9:11 am |
Naomba unisaidie nikiingiza emeli yang ina kata
June 9, 2013 at 1:56 am |
kaka naomba mwongozo nifungue blog yangu hapa chuoni
June 30, 2013 at 11:37 am |
Mimi naitwa deo nataka kujiunga na blog yako kwani nataka kujua mambo ya mapenzi
July 1, 2013 at 11:08 am |
Mambo unawezea
July 6, 2013 at 1:31 pm |
Oya naomba ushauli jaman kwan naumwa sana ugonjwa cujui jaman nateseka sana
July 12, 2013 at 7:14 pm |
Ngnda@Yahoo.com
July 25, 2013 at 6:56 am |
Maisha ni mtihani wa kushinda sio ukushinde
August 4, 2013 at 4:44 pm |
hongera sn kaka, naomba unisaidie na mm mdogo wako nifungue blog yamgu, naitwa wilfred lugano
August 16, 2013 at 7:04 am |
Hi
August 19, 2013 at 10:41 am |
NATAKA KUJIUNGA NA WANA BLOGU NASHINDWA NAOMBENI MSAADA WA KUJIUNGA.
August 19, 2013 at 10:48 am |
DADA E NAOMBA NIFUNGULIE BLOG MM NAITWA IMANI MWAMLIMA NIKO MBEYA NLZALIWA TAR 07/8/1995.NAKUOMBA MSAADA WAKO.
August 25, 2013 at 4:58 pm |
TIMOTHEOSICHINGA
August 25, 2013 at 5:02 pm |
MIMI NAITWA TIMOTHEO SICHINGA WA MBEYA NILIZALIWA TAREHE 22/1/1996 NAOMBA MSAADA WA KUNIFUNGULIA EMAIL YANGU BINAFSI NITASHUKULU ENDAPO OMBI LANGU LITAKUBALIWA.
August 30, 2013 at 10:54 am |
I think is so good for join at the Email
September 13, 2013 at 8:32 pm |
napenda kufahamu zaidi facebook
September 14, 2013 at 8:26 am |
Ni page ambayo itasambaza kazi na neno la mungu
September 16, 2013 at 9:52 am |
YESU KRISTO ni njia sahihi ya kwenda mbinguni
June 12, 2015 at 7:16 pm |
Nisaidien Kufungua Jamiir Fourse
September 16, 2013 at 10:03 am |
WOKOVU ndio njia yenyewe kwa kuwa YESU alisema nimekuja kutafuta na kuokoa kile kilichopotea.LUKA :19:10
September 23, 2013 at 8:47 am |
i would like to enjoe with fremason
September 24, 2013 at 8:24 am |
nisaidien name pia
October 4, 2013 at 9:15 am |
natakakujiungana yahoo
October 4, 2013 at 9:18 am |
vipimamambo
October 4, 2013 at 9:19 am |
naombaurafiki
October 4, 2013 at 9:22 am |
naombaulafiki
October 4, 2013 at 9:51 am |
naomba urafiki weno
October 31, 2013 at 7:45 am |
NAOMBA KUJIUNGA BLOG YAKO RAMA HAPA SINGDA
October 31, 2013 at 7:46 am |
RAMADHAN JUMA
October 31, 2013 at 9:35 am |
wasoma ramani
October 31, 2013 at 10:43 am |
Naomba utuelekeza jinsi ya kufungua blog
November 7, 2013 at 5:21 pm |
hongera sana bro,naomba mwongozo wa jinsi ya kuanzisha website kwani sina website na sijawahi kutumia mtandao kabisa hata sijui kama email niliyoandika ni sahihi au la.
November 8, 2013 at 2:56 pm |
Ebwanaee mpo juu ile mbaya
November 8, 2013 at 3:03 pm |
naomba mwongozo juu ya matumizi ya mtandao huu
November 12, 2013 at 9:50 am |
samahan kaka angu Macha naomba nsaidie ili nijiunge na google niweze elewesha watu pande za Manyara.
November 14, 2013 at 8:11 am |
HONGERA
November 28, 2013 at 8:18 pm |
Bro Ndesanjo vipi leo naitwa Alphonce H Mrindoko niko MANYARA_KITETO nimejaribu kujitengenezea website kama unavyoona hapo juu kama nimekosea nirekebishe tafadhali. Naomba maelekezo kwani natamani nijue zaidi kuhusu mambo haya.
December 9, 2013 at 10:18 am |
Nahitaji kuwa na barua pepe hii
December 15, 2013 at 8:39 pm |
DR HOPE MEDICAL
Dawa ya kupunguza unene 40000/Kuondoa harufu mbaya mwilin 30000/Kurefusha nywele 42000/Kupunguza kitambi 30000/kuondoa mabaka,chunusi na makovu 20000/Kuongeza hamu ya tendo la ndoa 48000/Ngozi kuwa softi 60000/NA Tumia mkanda wa mafuta kujitibu 75000.
TUPO MTAA WA LINDI,JIRANI NA DATASTAR COLLEGE Piga simu namba:0757802740 DR HOPE.
December 16, 2013 at 2:07 am |
Jins
December 16, 2013 at 11:39 am |
halo brother naomba unsaidie jinsi ya kufungua blog namba ya simu ni0757802740
December 25, 2013 at 12:36 pm |
MATOKEO PC 2013 KIDATO CHA NNE
December 25, 2013 at 12:38 pm |
Naomba mwongozo wa kufungua blogu yangu ya rocket mail.com
December 26, 2013 at 3:33 pm |
nahitaji msaada wa kubadili template yenye kusapot kuweka banner kama 6 kwa juu ya blog namba yangu 0767265221 .
December 27, 2013 at 8:09 pm |
mimi naitwa hussein hashimu no. ya cm 0689686410 nataka kufungua email na kujiunga fecebook naomba maelekezo nifanye nn.najinsi ya kuweka picha kwenye fecebook
December 27, 2013 at 9:48 pm |
naitwa hussein hashimu no 0717517126/0689686410 naomba msaada wa kufungua email kwa matumizi yangu tu pia naomba maelekezo ya kuingia fecebook maana mimi sijui naomba msaada wako.
December 28, 2013 at 7:49 am |
naitwa hussein hashimu, no 0717517126/0689686410. naomba msaada wa jinsi ya kufungua email kwa matumizi yangu binafsi na kuingia katika fecebook .maana sijui kabisa.
December 30, 2013 at 11:24 pm |
Bwan joj UliMÂż
January 2, 2014 at 8:40 am |
Paschal kevin phd
January 2, 2014 at 8:40 am |
Ja
January 3, 2014 at 11:40 am |
Naomba unisaidie nahitaji kuwa na blog yangu,nifanyeje?email yangu ni semegeofrey@yahoo.com
January 3, 2014 at 1:34 pm |
hay broo naomba unielekeze jinc ya kufungua blog yangu na jinc ya kujiunga na facebook & twitter
January 3, 2014 at 1:36 pm |
namba ya simu ni 0757802740
January 7, 2014 at 7:10 am |
form 2 mjiandae kukumbana kwenye ubao wa matokeo mtajibeba2
January 7, 2014 at 7:20 am |
walmu muache kutembea na wanafnz wenu!.mwalm mmoja kwa jina la simon afundishae shule ya chite atembea na mwanafnz wake jina dotto.
January 7, 2014 at 8:27 pm |
Habar kaka, mi nilikuwa naomba unisaidie jinsi ya kufungua e-mail yang na facebook pia maana kila nikijaribu na shindwa tafadhal nisaidie ni mimi HUSNA HAMADY MWANZA
January 8, 2014 at 8:46 am |
NAITWA NICKSON aka RUWAICH Natafuta demu au msichana wa kuchat nae na after tuwe wapenzi na antafute kupitia 0757802740
January 8, 2014 at 8:56 am |
DR HOPE MEDICAL
Offer offer offer
Anakuuzia dawa za ngozi kama unasumbuliwa na chunusi,mapunye,manyamauzembe,kusoftisha ngozi nk.Atakuuzia kwa gharama nafuu namba yake ni:0757802740
January 18, 2014 at 6:03 am |
Hi
January 19, 2014 at 8:52 pm |
Naomba mwongozo njins ya kufungua blog.mana ni vitu vingi sana ninavyo vya kuelimisha jamii. thanks brother
January 30, 2014 at 12:44 pm |
Naomba unisaidie jinsi ya kufungua fb.
February 5, 2014 at 4:57 am |
anko nisaidie kupata mwongozo asubuhi njema
February 5, 2014 at 5:02 am |
anko nisaidie kupata mwongozo hakika nimeshahangaika sana nakuomba.
February 21, 2014 at 3:40 am |
Habar ma broo! Naomba sana kaka unisaidie niweze kuwa na page yangu binafsi ktk mtandao wa kijamii wa facebook iitwayi DARASA HURU. Napatikana kwa 0753261283 E-mail Abeljoshua1@gmail.com.password Laiser10.Naomba nisaidie sana tafadhari.
February 21, 2014 at 10:12 pm |
Ibada muhim
March 4, 2014 at 1:11 pm |
Nahitaji kujua namna ya kujiunga na blogu na namna ya kutumia mtandao huo
March 10, 2014 at 1:35 pm |
hy br pole na kazi za kila siku mm napenda sana kutembelea mitandaoni na ninatamani sana kujua mengi kutoka mtandaoni alafu tayari ninayo blog yangu ambayo nimeianzisha siku si nyingi ombi langu naomba unisaidie jinsi ya upangiliaji wa blog yangu hii pia naomba unielekeze jinsi ya kuweka wimbo kwenye blog yangu ili watu wadowload kupitia blog hiyo naomba sana sana sana br unisaidie hilo natanguliza shukrani my contac 0756493645 au emal ezekiel.mcharoman@yahoo.com natokea maswa simiyu tanzania
March 16, 2014 at 8:52 pm |
naomba kusaidiwa kujiunga na facebook
March 20, 2014 at 1:04 pm |
naomba msaada kujiunga na fecebook namba ya siri nimeisahahu
March 20, 2014 at 5:14 pm |
Habaari zako? Tafadhali nielekeze namna ya kujiunga na f.book kila nikia dika inanambia nimekosea sijui nakosea wapi.
March 23, 2014 at 3:36 pm |
naomba nielekezwe jins ya kufungua blogs
March 24, 2014 at 4:48 am |
mambo vip kaka naitaji msaada na mimi
March 29, 2014 at 7:46 am |
nambo vipi?
March 29, 2014 at 12:09 pm |
NAITAJI MSAADA WA KUJIUNGA GOOGLE
April 5, 2014 at 8:38 am |
hongera sana kwa kutoa elimu juu ya matumizi ya blog.
April 5, 2014 at 12:20 pm |
yan mm nimeshindwa kabisaaaaaaaaaaaaa jinsi ya kujiunga fb naomba msaada pls
April 6, 2014 at 6:09 am |
jamani wana blog wasaidien wenzenu namna yakutumia blog ama kufungua acount. nawapa ongela kwawale ambao wanatoa muongozo namna yakufungua acount bgp xanaaaaa
April 21, 2014 at 6:24 am |
mwongozo namna ya kujiunga ktk blogger
May 9, 2014 at 6:37 pm |
Natafuta demu 0755688304
May 15, 2014 at 11:30 am |
Naomba kujiunga na yahoo
May 22, 2014 at 3:58 pm |
mm naitaji kujua jisi ya kutumia akaunt yangu ya facebook
May 28, 2014 at 12:09 pm |
Ya me ndio sijaelewa naomba kuelewa zaid
May 30, 2014 at 5:51 am |
Habari ya kwako kaka?
Mimi ningependa kufahamu utaratibu wa kufungua Blog, ni nyaraka gani hutumika hadi kufikia mtu kumiliki Blog?
Ni hayo tu kaka.
May 30, 2014 at 8:34 am |
by jofre
oyo kaka namuna ya kukisajili iko vp naomba musada
June 8, 2014 at 10:20 pm |
HI BROTHER NIKO ARUSHA NAOMBA MSAADA WAKUA NAIYO BLOG KAMAINAFAA NIWEZESHE JIB NDO MPANGO MZIMA BROTHER NINA KIBANDA CHANGU CHA BIASHARA FANYA MPANGO
June 29, 2014 at 5:14 am |
NA ITWA DJWAHAPA
July 31, 2014 at 8:20 am |
Nami naomba mwongozo wa kufungua li blogu ili kuchati na marafiki
July 31, 2014 at 11:58 am |
Mimi naitwa Hadija naomba mwongozo jinsi ya kufungua blog yangu
August 1, 2014 at 10:49 am |
naitaji msaada wa kufungua email ya yahoo.com
August 1, 2014 at 10:53 am |
alsaidata@yahoo.com
August 1, 2014 at 10:57 am |
vipi nimefanikiwa
August 1, 2014 at 11:54 am |
Ndugu wapendwa mashabiki zangu na wale ambao mnahitaji kuwa pamoja na mimi ,mkae tayari kupokea wimbo wangu mpya ambao kwa sasa ninakamilisha vidio yake, siwezi kusema show nitatoa lini na wapi,ni wakati wowote,nahiaji campany yako
September 6, 2014 at 9:11 am |
Hb1212Bh
September 8, 2014 at 1:43 am |
MIMI IBRA NATAKA KUWA NA EMEIL SABABU NAKOSA VITU VINGI SANA NIKIELEZEA SITOMALIZA AHSANTE
September 26, 2014 at 1:50 pm |
Kichwa31@gmail.com
September 26, 2014 at 1:53 pm |
Ok
September 27, 2014 at 8:20 pm |
Bro naomba unisaidie mwongozo ili nianzishe blog yang ni Godfrey Nundi from pande za mji kasoro lami Nyakarilo city
September 28, 2014 at 6:39 pm |
Naomba orodha ya wagombea urais mwaka 2015
October 9, 2014 at 9:58 pm |
Naomba unisaidie kutengeneza blog yangu kwaajili ya usambazaji wa Habari nakuomba sana TUmia jina hili CHRISPINKALINGA
October 19, 2014 at 8:42 am |
samahani kaka kwanza pole na majukumu ya hapa na pale mm nilikuwa naomba msaada wa kufungua tovuti ili iweze kunisaidia katika ufanisi na utendaji wa kazi yangu
October 20, 2014 at 11:57 pm |
i’m like in the bloger
October 21, 2014 at 6:52 am |
Nipo hapa Arusha naomba nielekeze namna ya kujiunga mtandaoni ili niwe moja wa kutoa changamoto mbalimbali ulimwenguni
October 26, 2014 at 12:44 am |
UMARUFU UNAPONZA
November 3, 2014 at 10:47 pm |
naomba mnisaidie kujiunga,yahoo ma
November 3, 2014 at 10:52 pm |
YAPU,mimi ni kijana mdogo ambaye nimeingia kwenye gemu ya music,but kwasasa nina jimbo ambazo natakurekodi,kama kuna mtu wa kunisaidia just help me,
November 4, 2014 at 6:20 pm |
hongera kwa kaz yako kaka,ila nimevutiwa sana nakuipenda kaz yako naomba unipe mwongozo wa kuwa mwanablogu ili namimi niweze kupata name kutoa maoni yangu brother.
November 9, 2014 at 10:14 am |
Naitaji kuunda blog naomba msaada……
November 18, 2014 at 3:41 pm |
Rroh uko sahihi sana ni dar tz….
November 18, 2014 at 3:44 pm |
Kaka uko sahihi sana nipo Dar Tz..nasongesha Life.
November 19, 2014 at 9:59 am |
maujanja
November 24, 2014 at 5:31 am |
Upendo,Amani,Mshikamano
December 5, 2014 at 5:55 pm |
mwongozo wa wanablogu
December 5, 2014 at 6:02 pm |
samahani kaka mimi naitwa leopord ninaomba kujinga na blogu ilinitumie kwenye biashala zangu
December 11, 2014 at 5:20 am |
nataka kujiunga blog yako
December 16, 2014 at 6:48 am |
Naomba mwongozo wa kufungua yahoo
December 24, 2014 at 11:45 am |
mungu yupo
January 11, 2015 at 4:39 pm |
niwajibu kila mtu kupoa habari pia kutowa habari
January 15, 2015 at 3:11 pm |
MWONGOZO WA WANABLOGU: Habari Za Kwako Kaka, Mimi Email Yangu Haifunguki! Msaada Jamani.
March 3, 2015 at 8:35 pm |
naomba usaidizi was kufungua blog
March 13, 2015 at 11:48 am |
Nahtaj kujua jinsi ya kujiunga na google
March 16, 2015 at 8:54 am |
Please nahitaji email ya member mmoja kwa jina Betram Lwabulala. Huwa anapatika sana hapa.
April 7, 2015 at 10:04 pm |
naomba muongozo bro! kagera majanga yamezdi
April 8, 2015 at 10:19 am |
I m medical proffession deling with to helps the pregnance woman especial during at labour for delivary ,ilike this work because to save the life of pregnant women ineed your suport in order to save life of mother and her baby
April 12, 2015 at 7:06 pm |
nahitaji kupata updates habari
April 13, 2015 at 8:12 pm |
Hkiller, Kisogo dogo wa k2mia ubogo wa kisogo,,wasanii wa bk anawaita madogo..bk sande kwangu ni gogo,,kamding kwangu ni dogo,,,chana kama unajua kuchana, of course naweza kubana,,saka riziki usiku na mchana we kijana, yaleo sio ya jana.
ata alkiba amebuni ya omwana..
me ni dogo from BUKOBA””MULEBA,
KWENYE MICHANO MTANIITA BABA.
April 13, 2015 at 8:18 pm |
Yaap stand up, bukoba never give up.. ukitaka niite Hkiller kisogo au HkillerPozy.
YAANI HAPO MIA MIA.
no, sheedah hata mishale izidi mida.
siwezi kuchani kwa ku2mia wida
April 13, 2015 at 8:21 pm |
Kiwhera ,ni kijiji kinachoptika wilaya ya muleba. kwa mauaji wamekidhiri..na viongozi wamekua vpofu..
April 17, 2015 at 5:02 pm |
hii ni bonge la awebsite tembelea ujionee mwenyewe
April 25, 2015 at 4:23 am |
nahitaji kujua namna ya kufungua blog
May 6, 2015 at 6:53 pm |
Mambo fulani amazing”dogo atari sana kwa michano…kutoka bukoba…! karagwe pamoko.
May 7, 2015 at 7:45 am |
M
May 10, 2015 at 4:46 am |
am come from mawono mbinga ruvuma.am a 4m 5 student
May 10, 2015 at 12:34 pm |
hakuna kama yesu
May 16, 2015 at 1:10 pm |
no one like jesus
June 7, 2015 at 5:58 pm |
Mm naitwa Yussuph Issa mm ni mwana blogu hii vile vile no mwana harakat wa blogu za internet lengo ni kujua kutengeneza blogu yang kuwa na lugha msimamo na mambo mengine mfano elim siasa michezo buradan na nk
June 11, 2015 at 12:21 pm |
for change to take place we ought to be dynamic.to fight:
corruption
ignorance
selfishness
poverty….
by dks one love
June 13, 2015 at 2:11 pm |
mambo vipi broo naomba msaada nikitaka kuweka nyimbo zangu kwa page yangu ya fb nipe muongozo
July 17, 2015 at 5:06 am |
naombamsaada natakakurusha picha yangu mtandaoni
July 30, 2015 at 6:17 pm |
Samahani Broo nahitaji nipate brog yangu il nirushe matangazo yangu
August 15, 2015 at 7:53 am |
Mr Macha. Naomba mwongozo ili nifungue blogu yangu
August 23, 2015 at 1:32 pm |
naomben kujiunga jaman il na mm niweze kutoa dukuduku lang
August 29, 2015 at 6:52 am |
i need to have an e-mail on facebook
September 9, 2015 at 7:33 am |
mr masha habari za shughuli mm nipo TANZANIA naomba mwongozo nataka kufungua blog nataka kubase kwenye masuala ya madini hapa kwetu tanzania nifanyeje ili niweze blog?
September 23, 2015 at 12:50 pm |
Dra rec’x production kwaajili yako wewe msanii wa tanzania
October 19, 2015 at 11:06 am |
Nielekezen jinsi y kujiunga google play kw vtendo koz cm yng haina neno play store wanablog wenzang nielekezen
October 25, 2015 at 8:09 pm |
naomba mnipe mwongozo wa namna ya kublogu na kujiunga mtandaoni ili nipate changa moto katika ulimwengu wa leo
November 5, 2015 at 3:16 pm |
nahitaji kuwa na blogu yangu pia naomba msaada
November 9, 2015 at 3:25 pm |
Like that, tuzidi kuikomboa Tanzania yetu.nataman kufungua blog il k kuza kipaj na kuleta maendeleo kwa familia jamii na ulimwengu kwa ujumla
November 13, 2015 at 8:53 am |
Naomba kujiuna na website
December 12, 2015 at 1:18 pm |
asante kwa kazi nzuri
December 26, 2015 at 7:04 am |
Ndugu Yangu mm naitaji kukuza blog Yangu ambayo inaitwa africatraidition.blogspot.com inausu maswala ya tamaduni na history kiujumla napia naitaji kuweka matangazo ya biashara ya watu je nitumie njia gani ndugu yangu
January 11, 2016 at 5:53 pm |
ka firaneni uko kila siku mtu anasema tu KUMA nyinyi.
April 9, 2016 at 9:14 pm |
Naomba mniunge blog yangu
May 28, 2016 at 6:11 pm |
http://Waphome.blogspot.com
July 3, 2016 at 5:34 am |
namimi pia nataka kuwa na blog naomba msaada kupitia namba 0656536206
August 31, 2016 at 2:25 pm |
POA
September 4, 2016 at 3:35 pm |
Napenda Kuchat! Na Maraf!K!
September 12, 2016 at 5:43 am |
hi kaka naomba unisaidie kutegeneza blog kwa ajir ya biashara zangu nipo dar napatkana kwa namba 0719050302.
September 13, 2016 at 5:43 am |
Ughaibuni@yahoo.cohttp://digitalafrica.blogspot.com
September 19, 2016 at 2:01 pm |
naomba unifundishe jinsi ya kuunga blog
December 22, 2016 at 10:12 pm |
Unayetaka kuwa blog nicheki kwenye email yangu siwajibu@thewajibu.com
February 2, 2017 at 6:33 pm |
mm n mtanzania Niko Dodoma naomba mwongozo wa kufungua globu
February 26, 2017 at 11:07 pm |
Wazima Ndugu