JINSI YA KUTUMIA MWONGOZO HUU

Njia rahisi ya kufaidika na mwongozo huu ni kutazama kona ya maudhui (isemayo “categories”) ambapo utaweza kujua unataka mwongozo kwenye eneo gani. Ingawa mwongozo hu unalenga zaidi wale ambao hawajaanza kublogu, kuna mambo mengi ambayo yanaweza kuwa ya manufaa hata kwa wale ambao wameshabobea kwenye ulimwengu wa blogu. Nakushauri uanze kusoma Utangulizi. Sehemu hii unaweza kuipata kwenye kona ya maudhui.
Karibu sana.

11 Responses to “JINSI YA KUTUMIA MWONGOZO HUU”

  1. Charles Mwakyagi Says:

    I want register as a bogger.

  2. Charles Mwakyagi Says:

    Thank you for registering me as a blogger. It’s only today that I noted to have been registered since April 13th, 2007 at 12.55pm.

  3. markus honorius Says:

    i want to have a blog

  4. markus honorius Says:

    i will very happy if i have my blog and i think i will try to learn more on how to provide a good bog to the audiences

  5. markus honorius Says:

    i need a blog from wordpress.com,and entries to RSS

  6. Charles Mwakyagi Says:

    Why my name does not appear in the alphabetical order?

  7. Mohammed George Says:

    Naam mkubwa habari yako nimekupata vizuri na hapa nakuonysha kweli kama mimi ni mwana mtandao kama japokuwa sijafikia hata theluthi yako lakini mashallah. kwanza nakuomba nakuomba msamaha kwa maneno makali nilokutumia kwenye user page ya http://sw.wikipedia.org/wiki/User:Ndesanjo. nilichukia sana kitendo cha wewe kuifuta ile kurasa ya hip hop ya bongo baadae nikagundua sababu iliopelekea kurasa ile kufutwa kisha nikaona kweli pale nilikosea.

    sasa mkubwa mimi binafsi na kuomba radhi manake bado nahitaji kuweka makala nyingi tu ili mradi kuhufamisha ulimwengu vipi wa tanzania tulivyo sasa ikiwa kama wewe ni mkubwa wa wikipedia kwa upande wa lugha ya kiswahili nakumba uniachie huru na ile kurasa ya hip hop ya bongo nitairudisha lakini kwanza nakumba mkubwa unikubalie kwa ilo

    kisha kila makala ambayo mimi nitaiandika nitakuwa nakuomba kama ushauri vipi inatakiwa maelezo ya wepo au wewe mzee wangu unaonaje?

    nina maana kwamba mimi nina uwezo wa internet mda mwingi na muda kufanya hivyo ninao sasa basi nataka nkusaidie na kuna kurasa nyingi tu ambazo mimi nimeziweka ni zaidi ya 16 zinazo husu muziki na filamu nimeona msg ya front page kwamba una furahi sana kuona vijana wengi wanajiunga na kuanza kueleza mambo ya muziki na filamu ni mimi peke yangu nilioandika makala zote hizo za filamu na muziki

    mimi peke yangu nime account zisizo pungua 16 au zaidi sasa nimeonyesha moyo wa kutaka kuandika makala na mwenye umeona ninajuhudi kiasi gani manake mimi naweka mpaka picha kuna baadhi ya wikipedia naweza kukuandikia ambazo mmi nimeweka maelezo na picha
    ni nyingi sana mzee wangu we chunguza utaona hizi makala zaidi ya ambazo zenyewe zinahusu mambo ya muziki na filamu zote nime ziunda mimi na hamna mtu wmingine mikija nakutana na marekebisho

    nadhani ni uliye kuwa unazirekebisha kurasa zile
    sas mkubwa naomba ushirikiano wako na msaada maana wewe ushapita mpaka wazungu wamekupa kurasa uzi hariri basi wamekukubali sana nahitaji msaada wako ili niweze kujenga makala niyingi

    wako
    Mohammed George.

  8. nasir Says:

    a\s.
    jamani nasikia sk. wetu alkhalily anaumwa je hajambo.

  9. sitta Says:

    mambo natka kujiunga na WANABLOGU

  10. Metta,A.H.N Says:

    Mwanawani mimi cna blog na nataka nifungue blog ila maelezo yananipiga chenga,maana wengine ha2japitia mafunzo ya computer

  11. Lucas Says:

    thanks a lot brother, natamani kuwa bloger pia, Mungu akubariki sana kwa msaada wako, i hope tutakutana zaidi katika ulimwengu wa blogu

Leave a Reply