MIMI
Ninaitwa Ndesanjo Macha. Pamoja na mambo mengine, mimi ni mwanablogu na mwanaharakati wa mtandao wa tarakilishi na uandishi wa umma. Ninatumia teknolojia ya blogu kusaidia kusafisha fikra zetu Waafrika kwa habari, elimu, maoni, na maarifa. Ninapenda wewe nawe uwe mwanablogu, uwe na uwanja wako wa kuwasiliana na wengine, kutoa habari, maoni, na elimu.
Ukiwa na swali lolote kuhusu teknolojia ya kublogu, wasiliana nami kwa anuani hii:
ughaibuni@yahoo.com
(tafadhali kwenye sehemu ya "subject" andika: mwongozo wa wanablogu)
Ninapatikana hapa:
http://digitalafrica.blogspot.com
http://cyber.law.harvard.edu/globalvoices/author/ndesanjo-macha/
September 16, 2006 at 6:29 pm |
samahani bro Macha nami naomba mwongozo ili nifungue blogu hapa chuoni Mweka Tanzania ili niweze kupata maneno yahusuyo wanyamapori wa Tanzania na Africa.
December 2, 2006 at 1:03 pm |
Salum Kalunge, tafadhali nipe anuani yako.
December 27, 2006 at 10:40 pm |
Please! Can you help me to link my web with other user/web owners. I fail to search through different engine such as Google and yahoo.
March 25, 2007 at 12:17 pm |
Hey bro mimi niko hapa Kigoma Tanzania naomba mwongozo namna na kublogu na kujiunga mtandaoni ili nitoe changamoto ya habari ktk ulimwengu huu wa utandawazi.
April 13, 2007 at 1:01 pm |
I want to become a blogger.
May 28, 2007 at 10:11 am |
naomb unisaidie niweze kuwa na blog. ushauri wako ni mzuri
June 14, 2007 at 12:12 pm |
Thank you I have got my registration since April 13th, 2007.
September 18, 2007 at 9:33 am |
Hello bro.Hongera sana kwa uyafanyayo,umenivutia mno naomba unitumie muongozo nataka kuwa mwanablogu tuweze changia changamoto mbalimbali kwa pamoja.Nipo Dar.Keep it Up!
October 30, 2007 at 12:58 pm |
Naomba kujiunga na wanablogu ili niweze kupata maoni mbali mbali jinsi na namna ya kuanzisha miradi kama ya shule za msingi na sekondari hapa Tanzania
February 1, 2008 at 6:01 pm |
american red cross volunteer dental assistant program
August 10, 2008 at 6:41 pm |
Hi Bro Macha! Nipo hapa Libya ninasoma chuo kimoja kinaitwa Islamic call college,ninahitaji msaada wa jinsi ya kufungua blog ninajitahidi mpaka ninapata blog ila tatizo ni kuandika katika hiyo blog. Nadhani umenielewa nisaidie.
June 9, 2009 at 1:06 pm |
habari kaka macha,nipo hapa dar nimevutiwa mno na mambo ya blogu hivyo nipatie mwangozo tafadhali nami nianzishe yangu kuwahabarisha wengine.
nisaidie tafadhali.
July 14, 2009 at 2:08 pm |
DDGirs com,
July 14, 2009 at 2:35 pm |
youporn tv,
February 26, 2010 at 2:04 pm |
salama kaka we mwanamapinduzi wa ukweli.endeelea kusaidia kizazi cha afrika kwani kuna umuhim wa kufanya mapinduzi ya ubongo kwa vijana wa Afrika kwa njia ya blog.hongera sana
April 15, 2010 at 7:57 pm |
Naomba maelezo jinsi ya kufungua blogu
August 16, 2010 at 10:21 am |
Habari za kazi,mr ndesanjo macha,naomba unipe mwongozo wa kujiunga na blogu na niwe napata taarifa mbali2 za tiba za asili na niweze kuwa mwanachama ktk huduma yako nzuri ya blogu.Nitashukuru sn kwa msaada,kwa mawasiliano zaidi napatikana ktk no.0754018763
February 7, 2011 at 4:47 pm |
Hallow kaka Ndesanjo, habari za kazi na pole na pilikapilika za kila iitwayo leo. mimi ni kjana wa kitanzania ambaye naweza kujiita mlevi wa uduma za mtandaoni. kwa kweli napenda kujielimisha na hata kuwaelimisha watu wengine kile kidogo ninachoamini kinafaa kuiwafikia. nimejaribu kufungua blogspot yangu mimi mwenyewe lakini nadhani kuna vitu au jambo nilikosea hivyo lengo langu halikufanikiwa kwa kiwango kikubwa. maana haifunguki mpaka iwe niwe nimefungua ukurasa wa face book.na mbaya zaidi siwezi kuweka taharifa wala kitu chochote kingine. naomba msaada wa kuniwezesha nami kuwa mwanablog mwenye blog yangu ambayo itakuwa na archive ya blog za watu wengine ambao ningependa kuwashirikisha wasomaji wangu. nashukuru iwapo ntapata msaada huo na kama mawasiliano ya simu yanahitajika napatikana pia kwa namba za simu hizi:-0715721020/0787721020/0764721020/0774721020.
May 26, 2011 at 4:56 pm |
naomba unitumie mwongozo nami niwe na blog yangu
October 14, 2011 at 4:25 am |
kaka habari za kaz, mimi naitwa francis nipo Tabora, naomba msaada wako kwani nahitaji kuanzisha blog yangu na nimeshindwa, naomba mwongozo ili niweze kufungua. email yangu ni fkulwa@rocketmail.com
February 17, 2012 at 7:16 am |
habari za kazi naitwa sharifu naomba unisaidie ili niweze kufungu e:meil yangu
November 27, 2011 at 5:14 am |
naomba unitumie mwongozo nami niwe na blog
November 28, 2011 at 9:20 pm |
nahitaji kufungua blog itayohusisha masoma hapa chuoni, tatizo ni kwamba ni kifungua inakuwa shida kwa watu wengine kuchangia au kuifungua nahitaji msaada wako bro
December 1, 2011 at 5:06 am |
Nataka kufungua email lakini nashindwa naomba unisaidie kwa hili
December 23, 2011 at 4:12 pm |
Samahani naomba unisaidie ninapotaka kuwa na email unafanyaje?
February 11, 2012 at 10:06 pm |
Naitwa Jack naomba unisaidie kufungua blog. Nipo Dar es salam
February 14, 2012 at 12:22 pm |
naomba kujiunga niwe na blog
May 6, 2012 at 6:40 am |
Habari ya kazi bro pole kwa shuhuli nilikuwa naomba muongozo jinsi ya kujiunga na bloog yako kama utajali
May 19, 2012 at 3:43 pm |
Nisaidie nifungue email yangu
May 24, 2012 at 10:49 am |
Maendeleo kwa ujumla
July 24, 2012 at 9:59 am |
hongera wazili kwa kujihudhuru
July 24, 2012 at 10:02 am |
naomba nisaidie namna ya kuwa na website yangu
July 25, 2012 at 10:52 am |
mungu awabaliki watanzania wote kwa kuwa ni wakalimu na niweye kujali maisha ya wengine lakini waaotuchafulia jina la TANZANIA NI WALA WANAOFANYA MAOVO MBALI MBALI KAMA UJAMBAZI MAUJI KAMA YANAYOTOKEA TABORA NA MIKOA MINGINE KWA IMANI ZA KISHIRIKINA KUTOITENDEA VYEMA TANZANIA WATU WENYE TABIA HIZO WAACHE KWANI KILA BAYA LINAMWISHO WAKE
July 26, 2012 at 10:25 am |
Tunahitaji vijana wote kumkumbuka mungu siku za ujana wetu kwasababu miaka hii ni ya hatari sana kuna manabii wa uongo wanaowadanganya watu wengi kutokana na kutokuwa na msimamo na imani zao mungu tubariki wote.
August 31, 2012 at 7:19 pm |
Luv u bro
October 26, 2012 at 6:13 pm |
I want this service
November 21, 2012 at 8:11 am |
HABARI ZA MAJUKUMU Naomba unisaidie niweze kuwa na fecebook na E-mail ninapotuma haziendi au bado hajakamilika nakuomba nisaidie tafadhali Asante
November 29, 2012 at 11:10 am |
POLE NA KAZI BRO NAITWA JOSEPHINE KISIMA naomba unisaidie niweze kufungua blog yangu ya kampuni kwa ajili ya matangazo na shughuli za kijamii pia johekiltdco@gmail.com
January 10, 2013 at 10:52 am |
…Kaka hongera sana kwa mchakato unaoufanya.Nimevutiwa nao sana,nami kawa kijana wa Kitanzania nahitaji kuijua kiundani teknolojia hiyo. Ntashkuru ukinitumia muongozo…
Harakati njema.
January 25, 2013 at 6:06 am |
naomba unisaidie namna ya kuwa na website yangu ili niweze elimisha jamii kwa ujumla, mambo ya kimwili na kiroho.
January 25, 2013 at 6:09 am |
pole kwa kazi naomba unisaidie niweze kufungua blog yangu ya kampuni kwa ajili ya matangazo na shughuli za kijamii pia rachelcharles47@yahoo.com
February 12, 2013 at 2:45 pm |
naomba unisaidie namna ya kujiunga na emely nipo mbeya henry zakayo
March 23, 2013 at 8:27 pm |
Iwant tobe amember
April 3, 2013 at 11:28 am |
mimi naomba unielekeze namna ya kujiunga na wanablogu
April 3, 2013 at 11:34 am |
NAOMBA UNIELEKEZE NAMNA YA KUJIUNGA NA WANABLOGU ILI NAMI NIWEZE KUCHATI.EMAIL YANGU NI kaabi92@mshana.com
April 3, 2013 at 12:24 pm |
hi, nami ningependa kufahamu namna ya kujiunga na kwenye blog ili nami niweze kuelimisha jamii kwa ujumla…
April 22, 2013 at 8:08 am |
HABARI ZENU WAPENDWA
April 27, 2013 at 8:13 pm |
Nisaidie nami
May 3, 2013 at 5:13 am |
Na mm naomba unipe huo muongozo ili niweze kutumia blog vizuri
May 10, 2013 at 10:04 am |
O
May 15, 2013 at 9:57 am |
Naitwa james mwaipyana nashindwa jinsi ya kufungua email
May 23, 2013 at 7:50 pm |
ninayo blog yangu ila inakuwa ngumu kuandika habari.. naomba msaada kwa hilo
May 23, 2013 at 8:17 pm |
Nipe anuani ya blogu yako na pia niambie zaidi kuhusu wewe. Wewe ni nani, unafanya nini, uko wapi, etc.