MIMI
Ninaitwa Ndesanjo Macha. Pamoja na mambo mengine, mimi ni mwanablogu na mwanaharakati wa mtandao wa tarakilishi na uandishi wa umma. Ninatumia teknolojia ya blogu kusaidia kusafisha fikra zetu Waafrika kwa habari, elimu, maoni, na maarifa. Ninapenda wewe nawe uwe mwanablogu, uwe na uwanja wako wa kuwasiliana na wengine, kutoa habari, maoni, na elimu.
Ukiwa na swali lolote kuhusu teknolojia ya kublogu, wasiliana nami kwa anuani hii:
ughaibuni@yahoo.com
(tafadhali kwenye sehemu ya "subject" andika: mwongozo wa wanablogu)
Ninapatikana hapa:
http://jikomboe.blogspot.com
http://digitalafrica.blogspot.com
http://cyber.law.harvard.edu/globalvoices/author/ndesanjo-macha/
September 16, 2006 at 6:29 pm |
samahani bro Macha nami naomba mwongozo ili nifungue blogu hapa chuoni Mweka Tanzania ili niweze kupata maneno yahusuyo wanyamapori wa Tanzania na Africa.
December 2, 2006 at 1:03 pm |
Salum Kalunge, tafadhali nipe anuani yako.
December 27, 2006 at 10:40 pm |
Please! Can you help me to link my web with other user/web owners. I fail to search through different engine such as Google and yahoo.
March 25, 2007 at 12:17 pm |
Hey bro mimi niko hapa Kigoma Tanzania naomba mwongozo namna na kublogu na kujiunga mtandaoni ili nitoe changamoto ya habari ktk ulimwengu huu wa utandawazi.
April 13, 2007 at 1:01 pm |
I want to become a blogger.
May 28, 2007 at 10:11 am |
naomb unisaidie niweze kuwa na blog. ushauri wako ni mzuri
June 14, 2007 at 12:12 pm |
Thank you I have got my registration since April 13th, 2007.
September 18, 2007 at 9:33 am |
Hello bro.Hongera sana kwa uyafanyayo,umenivutia mno naomba unitumie muongozo nataka kuwa mwanablogu tuweze changia changamoto mbalimbali kwa pamoja.Nipo Dar.Keep it Up!
October 30, 2007 at 12:58 pm |
Naomba kujiunga na wanablogu ili niweze kupata maoni mbali mbali jinsi na namna ya kuanzisha miradi kama ya shule za msingi na sekondari hapa Tanzania
February 1, 2008 at 6:01 pm |
american red cross volunteer dental assistant program
August 10, 2008 at 6:41 pm |
Hi Bro Macha! Nipo hapa Libya ninasoma chuo kimoja kinaitwa Islamic call college,ninahitaji msaada wa jinsi ya kufungua blog ninajitahidi mpaka ninapata blog ila tatizo ni kuandika katika hiyo blog. Nadhani umenielewa nisaidie.
June 9, 2009 at 1:06 pm |
habari kaka macha,nipo hapa dar nimevutiwa mno na mambo ya blogu hivyo nipatie mwangozo tafadhali nami nianzishe yangu kuwahabarisha wengine.
nisaidie tafadhali.
July 14, 2009 at 2:08 pm |
DDGirs com,
July 14, 2009 at 2:35 pm |
youporn tv,