MIMI

Ninaitwa Ndesanjo Macha. Pamoja na mambo mengine, mimi ni mwanablogu na mwanaharakati wa mtandao wa tarakilishi na uandishi wa umma. Ninatumia teknolojia ya blogu kusaidia kusafisha fikra zetu Waafrika kwa habari, elimu, maoni, na maarifa. Ninapenda wewe nawe uwe mwanablogu, uwe na uwanja wako wa kuwasiliana na wengine, kutoa habari, maoni, na elimu.

Ukiwa na swali lolote kuhusu teknolojia ya kublogu, wasiliana nami kwa anuani hii:

ughaibuni@yahoo.com

(tafadhali kwenye sehemu ya "subject" andika: mwongozo wa wanablogu) 

Ninapatikana hapa:

http://jikombe.com

http://jikomboe.blogspot.com

http://digitalafrica.blogspot.com

http://cyber.law.harvard.edu/globalvoices/author/ndesanjo-macha/

14 Responses to “MIMI”

  1. Salum Kulunge Says:

    samahani bro Macha nami naomba mwongozo ili nifungue blogu hapa chuoni Mweka Tanzania ili niweze kupata maneno yahusuyo wanyamapori wa Tanzania na Africa.

  2. ndesanjo Says:

    Salum Kalunge, tafadhali nipe anuani yako.

  3. Bertram Lwabulala Says:

    Please! Can you help me to link my web with other user/web owners. I fail to search through different engine such as Google and yahoo.

  4. Justin Kasyome Says:

    Hey bro mimi niko hapa Kigoma Tanzania naomba mwongozo namna na kublogu na kujiunga mtandaoni ili nitoe changamoto ya habari ktk ulimwengu huu wa utandawazi.

  5. Charles Mwakyagi Says:

    I want to become a blogger.

  6. Andrew Kasero Says:

    naomb unisaidie niweze kuwa na blog. ushauri wako ni mzuri

  7. Charles Mwakyagi Says:

    Thank you I have got my registration since April 13th, 2007.

  8. Suleiman Serera Says:

    Hello bro.Hongera sana kwa uyafanyayo,umenivutia mno naomba unitumie muongozo nataka kuwa mwanablogu tuweze changia changamoto mbalimbali kwa pamoja.Nipo Dar.Keep it Up!

  9. Theonest Bahemuka Says:

    Naomba kujiunga na wanablogu ili niweze kupata maoni mbali mbali jinsi na namna ya kuanzisha miradi kama ya shule za msingi na sekondari hapa Tanzania

  10. olesja Says:

    american red cross volunteer dental assistant program

  11. Rashid Says:

    Hi Bro Macha! Nipo hapa Libya ninasoma chuo kimoja kinaitwa Islamic call college,ninahitaji msaada wa jinsi ya kufungua blog ninajitahidi mpaka ninapata blog ila tatizo ni kuandika katika hiyo blog. Nadhani umenielewa nisaidie.

  12. Ulinda Ulinda Says:

    habari kaka macha,nipo hapa dar nimevutiwa mno na mambo ya blogu hivyo nipatie mwangozo tafadhali nami nianzishe yangu kuwahabarisha wengine.
    nisaidie tafadhali.

  13. avi09 Says:

    DDGirs com,

  14. avrille Says:

    youporn tv,

Leave a Reply